info@nyumbasaccos.co.tz +255 746 436 049 

Riba itakuwa kiwango cha asilimia 1 kwa mwezi au asilimia 11 kwa mwaka kwa kutumia mfumo wa salio la mkopo linalopungua (Reducing Balance Method). Kiasi cha mkopo hakitazidi mara tatu (3) ya Akiba ya mkopaji. Ulipaji wa mkopo utakuwa kwa kipindi kisichozidi miezi sitini (60). Kiwango cha juu kitakuwa ni Shilingi milioni hamsini (Tshs. 50,000,000/=).