info@nyumbasaccos.co.tz +255 746 436 049 

Mkopo huu utatolewa ikiwa mwanachama anahitaji kompyuta Muda wa urejeshaji ni kipindi kisichozidi miezi 10 Mkopo wa huu utatolewa kwa mkopaji wa kwanza au ikiwa mwanachama aliyekopa amemaliza mkopo wa awali. Kiwango cha juu cha mkopo hakitazidi shilingi million Tsh. 1,000,000.

Riba itakayotozwa ni asilimia 5 kwa mwezi kwa kutumia mfumo wa salio la mkopo linalopungua (Reducing balance method). Mwanachama yeyote anaruhusiwa kukopa mkopo huu ili mradi ametimiza miezi 3 inayotakiwa kisheria.