info@nyumbasaccos.co.tz

 +255 746 436 049

Mwanachama anatakiwa awe na sifa zifuatazo:

  • Awe mwenye umri wa miaka isiyopungua kumi na minane (18)
  • Awe ni mkazi wa eneo husika.
  • Mwenye tabia njema na akili timamu.
  • Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa au kuandikishwa na anayekubalika kwenye masharti haya.
  • Awe amelipa kiingilio, Hisa na kuweka Akiba kwa kiwango kilichopangwa na Mkutano Mkuu na awe anashiriki shughuli za SACCOS.
  • Awe tayari kufuata masharti ya chama, Sheria ya Ushirika Na.6 ya mwaka 2013, kanuni na marekebisho yake.