info@nyumbasaccos.co.tz

 +255 746 436 049

Kila mwanachama atatakiwa kuweka Akiba katika kila kipindi kilichokubalika ya kiasi kisichopungua Shilingi 75,000/= kwa mwezi na Shilingi 25,000/= kwa wanachama wastaafu au kiasi kingine kadiri itakavyoamuliwa na Mkutano Mkuu.