Kila mwanachama atatakiwa kuweka Akiba katika kila kipindi kilichokubalika ya kiasi kisichopungua shilingi 75,000/= kwa mwezi na shilingi 25,000 kwa wanachama wastaafu au kiasi kingine kadiri itakavyoamuliwa na Mkutano Mkuu.
Kila mwanachama atatakiwa kuweka Akiba katika kila kipindi kilichokubalika ya kiasi kisichopungua shilingi 75,000/= kwa mwezi na shilingi 25,000 kwa wanachama wastaafu au kiasi kingine kadiri itakavyoamuliwa na Mkutano Mkuu.