nyumba saccos ltd
Nyumba SACCOS Ltd ilianza Tarehe 18 Mwezi Julai, 1969 kwa usajili namba 1904. Chama kilianza na wanachama 103 kama waanzilishi kikiwa na lengo la kuboresha mahitaji ya kiuchumi kwa wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa kwa kuwawezesha kuweka na kukopa kwa riba ndogo ikilinganishwa na riba zinazotolewa na ma-benki.
DIRA
Kuwa SACCOS kiongozi inayotegemewa katika utoaji wa huduma bora za kifedha nchini.
DHAMIRA
Kuboresha hali ya kijamii na kiuchumi kwa wanachama wetu kwa kutoa huduma bora kwa gharama nafuu na katika mazingara rafiki.
376
Wanachama
4.108
Mikopo Bilioni (Tshs)
3.170
Akiba Bilioni (Tshs)
427
Hisa Milioni (Tshs)
143
Watumiaji Mfumo
MIKOPO YETU
Suluhisho linalowezesha ndoto kuwa ukweli kwa wanachama wetu kwa njia rahisi na yenye riba nafuu.
utawala
Nyumba SACCOS Ltd inajivunia uwazi, uwajibikaji, na uadilifu katika uongozi wetu, ukilenga kuwahudumia wanachama wetu kwa
ufanisi na kufikia malengo ya maendeleo endelevu.
Grace Amini
MenejaRuth Charles
MhasibuDennis Masinda
Afisa TehamaWinfrida Kasonso
Afisa MikopoVeronica Mkumba
Mhudumu wa OfisiFanya Maamuzi Sasa
Anza safari yako ya mafanikio na Nyumba SACCOS Ltd wekeza akiba yako na kopa kwa uhuru kwa ustawi wa baadaye.
HABARI NA MATUKIO
Pata habari za hivi karibuni kuhusu huduma zetu, fursa za uwekezaji, na taarifa muhimu kwa wanachama wetu,
kuwawezesha kufanya maamuzi sahihi kwa ustawi wao wa kifedha.
August 18, 2025
UZINDUZI WA MOBILE APPLICATION
Dar es Salaam, 18 Agosti 2025 Nyumba SACCOS LTD ilizindua rasmi Mobile Application yake mpya katika Semina ya Wanachama wa…
July 30, 2025
SEMINA
Nyumba SACCOS Ltd inayo furaha kuwakaribisha wanachama wa Mkoa wa Dar es Salaam kwenye Semina itakayofanyika Tarehe 16 Mwezi 8,…
November 2, 2024
Mkutano Mkuu 2024
Matukio ya Mkutano Mkuu wa 55 Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 55 ya Nyumba SACCOS Ltd uliofanyika Tarehe 02/11/2024…
WADAU WETU
"Wadau Wetu" wa Nyumba SACCOS Ltd ni nguzo muhimu, wakishirikiana nasi kuboresha huduma,
kujenga ushirikiano thabiti, na kufanikisha malengo ya kifedha




